Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 5 uku. 3
  • Utumishi Wetu wa Kutoa Musaada

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Utumishi Wetu wa Kutoa Musaada
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kazi ya Kutolea Ndugu Misaada Wakati wa Magumu
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
  • Utapenda Kuwa Painia Musaidizi mu Mwezi wa 3 ao wa 4?
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 5 uku. 3

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 2 WAKORINTO 7-10

Utumishi Wetu wa Kutoa Musaada

8:1-4; 9:7

Utumishi wetu wa Kikristo uko na sehemu mbili. Ya kwanza ni “utumishi wa upatanisho,” ni kusema kazi yetu ya kuhubiri na kufundisha. Na ya pili ni “utumishi wa kutoa musaada” ili kusaidia waamini wenzetu. (2Ko 5:18-20; 8:4) Kwa hiyo, kusaidia Wakristo wenye wako mu uhitaji ni sehemu ya utumishi wetu mutakatifu. Wakati tunasaidia Wakristo wenzetu:

  • Tunatimizia ndugu na dada zetu mahitaji yao.​—2Ko 9:12a

  • Tunasaidia wenye wamepatwa na magumu warudilie programu yao ya kiroho, ni kusema, waanze tena kujifunza kipekee, kuenda ku mikutano, na kuhubiri kwa bidii ili kumushukuru Yehova.​—2Ko 9:12b

  • Tunamutukuza Yehova. (2Ko 9:13) Kazi ya kutoa musaada inasaidia watu wakuwe na mawazo ya muzuri juu yetu, hata wale wenye wako na mawazo ya mubaya juu ya Mashahidi wa Yehova

Familia ya mu wakati wa mitume inatoa muchango wa feza; dada anaangalia namna ndugu wa Halmashauri ya Kutoa Misaada wanatengeneza nyumba yake
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine