Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 5 uku. 4
  • “‘Mwiba Katika Mwili’ wa Paulo”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “‘Mwiba Katika Mwili’ wa Paulo”
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Je! Unao “Mwiba Katika Mwili”?
    Huduma Yetu ya Ufalme—1998
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 5 uku. 4

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 2 WAKORINTO 11-13

“Mwiba Katika Mwili” wa Paulo

12:7-10

Miiba inatumiwa mara mingi mu Biblia mu njia ya mufano. Inaweza kufananisha watu wenye wanaweza kuleta matatizo ao kuumiza wengine, ao vitu vyenye vinaweza kuleta matatizo. (Hes 33:55; Mez 22:5; Eze 28:24) Wakati Paulo aliandika kuhusu “mwiba katika mwili” wake, pengine alikuwa anamaanisha mitume wa uongo na watu wengine wenye walipinga utume wake na kazi yake. Lakini, pengine “mwiba katika mwili” wa Paulo ilimaanisha mambo ingine. Namna gani maandiko yenye iko hapa chini inaonyesha vile?

  • Mutume Paulo anajikamata ku kichwa

    Mdo 23:1-5

  • Gal 4:14, 15

  • Gal 6:11

Na weye, uko na ‘mwiba gani katika mwili’?

Namna gani unaweza kumutegemea Yehova juu akusaidie kuvumilia?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine