UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 2 WAKORINTO 11-13
“Mwiba Katika Mwili” wa Paulo
Miiba inatumiwa mara mingi mu Biblia mu njia ya mufano. Inaweza kufananisha watu wenye wanaweza kuleta matatizo ao kuumiza wengine, ao vitu vyenye vinaweza kuleta matatizo. (Hes 33:55; Mez 22:5; Eze 28:24) Wakati Paulo aliandika kuhusu “mwiba katika mwili” wake, pengine alikuwa anamaanisha mitume wa uongo na watu wengine wenye walipinga utume wake na kazi yake. Lakini, pengine “mwiba katika mwili” wa Paulo ilimaanisha mambo ingine. Namna gani maandiko yenye iko hapa chini inaonyesha vile?
Na weye, uko na ‘mwiba gani katika mwili’?
Namna gani unaweza kumutegemea Yehova juu akusaidie kuvumilia?