UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAGALATIA 1-3
“Nilimupinga Uso kwa Uso”
Namna gani hii habari inanifundisha kama:
Tunapaswa kuwa hodari.—w18.03 uku. 31-32 fu. 16
Kuogopa mwanadamu ni mutego.—it-2-F uku. 504 fu. 2
Watumishi wote wa Yehova, hata wale wenye kuwa na mapendeleo, hawakamilike.—w10 15/6 uku. 17-18 fu. 12
Tunapaswa kuendelea kujikaza sana ili kuondoa ubaguzi fulani wenye pengine ungali mu moyo wetu.—w18.08 uku. 9 fu. 5