UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YAKOBO 1-2
Njia Yenye Inaongoza Kwenye Zambi na Kifo
Wakati unaanza kuwaza mambo ya mubaya, ufanye hivi:
Ujikaze sana kukaza akili yako juu ya jambo lingine.—Flp 4:8
Ufikirie matokeo ya mubaya yenye inaweza kukupata kama unafanya jambo la mubaya lenye uko unawaza.—Kum 32:29
Usali.—Mt 26:41
Wakati unakuwa na mawazo ya mubaya, unaweza kuwaza kuhusu mambo gani ya muzuri juu ile ya mubaya iishe?