Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 9 uku. 7
  • “Muendelee Kufikiria Mambo Hayo”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Muendelee Kufikiria Mambo Hayo”
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mawazo Yetu Inaonyesha Kama Tuko Waaminifu-Washikamanifu ao Hapana
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Mawazo ya Moyo Wangu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Kutafakari
    Amuka!—2014
  • Namna Tunaweza Kuchagua Mambo ya Kujifurahisha
    Namna ya Kubakia Katika Upendo wa Mungu
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 9 uku. 7
Ndugu iko anaangalia mambo fulani mu ordinatere yake usiku na simba mwenye kunguruma, mwenye kufananisha Shetani, iko pemebeni yake

MAISHA YA MUKRISTO

“Muendelee Kufikiria Mambo Hayo”

Mambo gani? Wafilipi 4:8 inasema tufikirie mambo yenye kuwa ya kweli, ya hangaiko nzito, ya haki, yenye kuwa safi, yenye kustahili kupendwa, yenye kusemwa muzuri, yenye kustahili sifa, na tabia zozote za muzuri. Ni kweli, Wakristo hawaombwe tu kufikiria mambo ya kiroho kila wakati. Lakini, mawazo yetu inapaswa kumupendeza Yehova. Hatupaswe kufikiri kuhusu mambo yenye inaweza kufanya ikuwe nguvu kwetu kubakia waaminifu kwake.​—Zb 19:14.

Inaweza kuwa nguvu kwetu kuepuka mawazo ya mubaya. Tunapaswa kupambana, haiko tu na hali yetu ya kukosa kukamilika, lakini pia tunapaswa kupinga majaribu yenye inatoka kwa Shetani, “mungu wa mupangilio huu wa mambo.” (2Ko 4:4) Kwa kuwa ni yeye njo anaongoza dunia, mambo mingi yenye inaonyeshwa ku televizyo, ku Enternete, na habari fulani kwenye radio, mu magazeti na vitabu ni ya mubaya. Kama hatuchague muzuri mambo yenye tunaingiza mu akili yetu, tunaweza kuwa na mawazo ya mubaya na ku mwisho inaweza kufanya mwenendo wetu uharibike.​—Yak 1:14, 15.

MUANGALIE VIDEO EPUKA MAMBO YENYE KUHARIBU USHIKAMANIFU​—MAMBO YA KUJIFURAHISHA YENYE HAIFAE, NA KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Ndugu iko anaangalia mambo yenye haifae ku telefone yake usiku

    Ni mambo gani ndugu alikuwa anaangalia mu telefone yake, na ilimuletea matokeo gani?

  • Ndugu anajitosha kwenye site fulani ya watu mingi

    Namna gani Wagalatia 6:7, 8 na Zaburi 119:37 ilimusaidia?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine