UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | UFUNUO 13-16
Musiogope Wanyama Wenye Kuogopesha
Juu tunaelewa wale wenye kufananishwa na wale wanyama wenye kuzungumuziwa mu kitabu cha Ufunuo sura ya 13, ile inatusaidia tusiwaogope ao tusipendezwe nao na kuwaunga mukono kama vile watu mingi wanafanya.
Patanisha Kila Munyama na Mambo Yenye Anafananisha
WANYAMA
Ule nyoka mukubwa.—Ufu 13:1, maelezo ya chini
Munyama wa pori mwenye kuwa na pembe kumi na vichwa saba.—Ufu 13:1, 2
Munyama wa pori mwenye kuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo.—Ufu 13:11
Ile sanamu ya munyama wa pori.—Ufu 13:15
SERIKALI
Serikali Kubwa ya Ulimwengu ya Uingereza na Amerika
Ushirika wa Mataifa na Umoja wa Mataifa wenye ulikamata nafasi yake
Shetani Ibilisi
Serikali zote zenye kumupinga Mungu