UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 3-5
Matokeo ya Mubaya Sana ya Uongo wa Kwanza
Tangu tu Shetani aambie Eva uongo wa kwanza, ameendelea kuwapotosha watu. (Ufu 12:9) Namna gani mafundisho ya uongo yenye kufuata, yenye Shetani anaendeleza, inafanya watu wasimukaribie Yehova?
Hakuna Mungu
Mungu ni Utatu wenye haueleweke
Mungu hana jina
Mungu anatesaka watu milele katika moto wa mateso
Mambo yote yenye kufanyika ni mapenzi ya Mungu
Mungu haangaikie wanadamu
Ile mafundisho ya uongo juu ya Mungu inakufanya ujisikie namna gani?
Unaweza kufanya nini ili kuonyesha kama mawazo yote yenye Shetani anatokeza juu ya Mungu ni ya uongo?