Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 2 uku. 2
  • Agano Lenye Linakuhusu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Agano Lenye Linakuhusu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mutakuwa “Ufalme wa Makuhani”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Ukuwe na Imani Yenye Nguvu Katika Ufalme
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 2 uku. 2
Abrahamu iko anaangalia mbingu zenye kuwa na nyota.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 12-14

Agano Lenye Linakuhusu

12:1-3; 13:14-17

  • Yehova alifanya agano pamoja na Abrahamu, lenye lilifanya Ufalme wa mbinguni ukuwe na musingi wa kisheria

  • Kwa kweli ile agano ilianza kutumika mu mwaka wa 1943 mbele ya kuzaliwa kwa Yesu, wakati Abrahamu alivuka Muto Efrati katika safari yake ya kuenda Kanaani

  • Ile agano itaendelea kufanya kazi mupaka wakati Ufalme wa Masiya utaharibu maadui wote wa Mungu na kuletea baraka familia zote za dunia

Yehova alimubariki Abrahamu sababu alikuwa na imani sana. Kama tunaamini ahadi za Mungu, tutapata baraka gani zenye zitatokana na agano lenye Mungu alifanya pamoja na Abrahamu?

Abrahamu na watu wa nyumba yake wako katika safari na wanapita mugini moja wa Kanaani.
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine