Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 3 uku. 4
  • Esau Anauzisha Haki Yake ya Kuwa Muzaliwa wa Kwanza

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Esau Anauzisha Haki Yake ya Kuwa Muzaliwa wa Kwanza
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Linda Uriti Wako wa Kiroho kwa Kuchukua Maamuzi Mazuri
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Yakobo Alipata Uriti
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Watu wa Kiroho Wanakamata Maamuzi yenye Hekima
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2024
  • Thamini Mambo Matakatifu!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 3 uku. 4
Ndugu iko anafikiri sana juu ya mambo yenye ametoka tu kusoma katika Biblia. Iko anawazia namna Esau anauzisha haki yake ya kuwa muzaliwa wa kwanza kwa Yakobo kwa kubadilishana na bakuli ya muchuzi wa ndengu.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 25-26

Esau Anauzisha Haki Yake ya Kuwa Muzaliwa wa Kwanza

25:27-34

Esau “hakuheshimia mambo matakatifu.” (Ebr 12:16) Kwa hiyo, aliuzisha haki yake ya kuwa muzaliwa wa kwanza. Tena alioa wanamuke wawili wenye hawakuwa wanamuabudu Mungu.​—Mwa 26:34, 35.

UJIULIZE HIVI: ‘Ninaweza kuonyesha namna gani kama ninaheshimia mambo matakatifu yenye kufuata?’

  • Uhusiano wangu pamoja na Yehova

  • Roho takatifu

  • Kuitwa kwa jina takatifu la Yehova

  • Kazi ya kuhubiri

  • Mikutano ya Kikristo

  • Ndoa

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine