UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | KUTOKA 15-16
Umusifu Yehova Kupitia Nyimbo
Muziki unaweza kuchochea kabisa mawazo yetu na moyo wetu. Kuimba ni sehemu ya maana ya ibada yetu.
Musa na Waisraeli walimuimbia Yehova ili kumusifu juu alifanya muujiza ili kuwaokoa ku Bahari Nyekundu
Mufalme Daudi aliweka wanaume 4000 ili wakuwe wapiga-muziki na waimbaji kwenye hekalu
Usiku mbele Yesu akufe, yeye na mitume wake waaminifu walimusifu Yehova kupitia nyimbo
Ni wakati gani ninaweza kumusifu Yehova kupitia nyimbo?