UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | KUTOKA 25-26
Kitu ya Maana Sana mu Tabenakulo
Sanduku la Agano njo ilikuwa kitu ya maana sana mu tabenakulo na mu kambi ya Waisraeli. Wingu kati ya makerubi wawili wenye walikuwa juu ya kifuniko cha Sanduku njo ilifananisha kuwapo kwa Mungu. Siku ya Upatanisho ya kila mwaka, kuhani mukubwa alikuwa anaingia Patakatifu Zaidi na kunyunyiza damu ya ngombe-dume na ya mbuzi mbele ya kifuniko ili kumuomba Yehova asamehe zambi za Waisraeli. (Law 16:14, 15) Ile ilifananisha wakati yenye Yesu, Kuhani Mukubwa alienda mbele ya Yehova kule mbinguni ili kutoa samani ya zabihu yake ya ukombozi.—Ebr 9:24-26.
Patanisha maandiko yenye kufuata na baraka zenye tunapata kupitia bei ya ukombozi:
MAANDIKO
BARAKA
tumaini la kuishi milele
musamaha wa zambi
zamiri safi
Tunapaswa kufanya nini ili tupate zile baraka?