UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | KUTOKA 27-28
Manguo Yenye Makuhani Walikuwa Wanavala Inaweza Kutufundisha Nini?
Manguo yenye makuhani Waisraeli walikuwa wanavala, inatukumbusha kama tunapaswa kuwa watakatifu, wenye kiasi na mwenendo safi na kumuomba Yehova atuongoze.
Namna gani tunaweza kumuomba Yehova atuongoze?
Kuwa mutakatifu maana yake nini?
Namna gani tunaweza kuwa na kiasi na mwenendo safi?