Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 9 uku. 5
  • Manguo Yenye Makuhani Walikuwa Wanavala Inaweza Kutufundisha Nini?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Manguo Yenye Makuhani Walikuwa Wanavala Inaweza Kutufundisha Nini?
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Unaweza Kuendelea Kuwa Mwenye Kiasi Wakati wa Majaribu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
  • Sababu Gani Sifa ya Kiasi Ingali ya Maana?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
  • Muende, na Mufanye Wanafunzi​—Sababu Gani, Wapi, na Namna Gani?
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 9 uku. 5

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | KUTOKA 27-28

Manguo Yenye Makuhani Walikuwa Wanavala Inaweza Kutufundisha Nini?

28:30, 36, 42, 43

Kuhani mukubwa na kuhani Mulawi ni wenye kuvala manguo ya pekee kwa ajili ya kazi yao.

Manguo yenye makuhani Waisraeli walikuwa wanavala, inatukumbusha kama tunapaswa kuwa watakatifu, wenye kiasi na mwenendo safi na kumuomba Yehova atuongoze.

  • Namna gani tunaweza kumuomba Yehova atuongoze?

  • Kuwa mutakatifu maana yake nini?

  • Namna gani tunaweza kuwa na kiasi na mwenendo safi?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine