Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 10 uku. 8
  • Kampanye ya Pekee ya Kutangazia Watu Ufalme mu Mwezi wa 11

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kampanye ya Pekee ya Kutangazia Watu Ufalme mu Mwezi wa 11
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kampanye ya Pekee ya Kutangazia Watu Ufalme mu Mwezi wa 9!
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Ambia Watu Kama Dunia Mupya Iko Karibu!
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Tugawe Kwa Uwingi Trakti Habari Za Ufalme Na. 35
    Huduma Yetu ya Ufalme—1997
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 10 uku. 8
Ndugu na dada wako wanazungumuza na watu ku prezantware. Ku prezantware kuko picha kubwa ya Munara wa Mulinzi Na 2, 2020.

MAISHA YA MUKRISTO

Kampanye ya Pekee ya Kutangazia Watu Ufalme mu Mwezi wa 11

‘Munara wa Mulinzi Na 2, 2020 wenye kichwa ‘Ufalme wa Mungu Ni Nini?’

Yesu alitangaza “habari njema ya Ufalme wa Mungu.” (Lu 4:43) Tena aliambia watu wasali juu ya ule Ufalme. (Mt 6:9, 10) Mu Mwezi wa 11, tutajikaza sana kuambia watu juu ya Ufalme wa Mungu. (Mt 24:14) Panga mambo yako muzuri juu ushiriki kabisa mu ile kampanye. Wale wote wenye watakuwa mapainia wasaidizi ile mwezi, wataamua ikiwa watahubiri saa 30 ao 50.

Tumia hata andiko moja yenye kuzungumuzia Ufalme wa Mungu na uambie watu mingi mu eneo yako. Wakati uko unachagua andiko fulani, ufikirie mambo yenye wasikilizaji wako wanaamini. Kama mutu anapendezwa wakati unamutembelea kwa mara ya kwanza, umupatie Munara wa Mulinzi Na. 2 2020, kisha uendelee kumutembelea bila kuchelewa. Ikiwezekana uanzishe naye funzo la Biblia kwa kutumia kichapo kimoja kati ya Vyombo Vyetu vya Kufundishia. Kunabakia wakati kidogo tu mbele Ufalme wa Mungu ukuje kuvunja serikali zote zenye kumupinga Mungu. (Da 2:44; 1Ko 15:24, 25) Kwa hiyo basi, tufanye yetu yote ili kutumika sana wakati wa ile kampanye ili kuonyesha kama tunamutegemeza kabisa Yehova na Ufalme wake!

Yesu katika kiti cha Ufalme, anatawala mbinguni akiwa Mufalme juu ya Paradiso ku dunia.

Ufalme wa Mungu utaleta Paradiso ku dunia!

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine