UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Epuka Kunungunika-nungunika
Yehova hapendake mutu wa kunungunika-nungunika (Hes 11:1; w01-SW 15/6 uku. 17 fu. 20)
Kunungunika-nungunika ni alama ya uchoyo na kukosa shukrani (Hes 11:4-6; w06-SW 15/7 uku. 15 fu. 7)
Mutu wa kunungunika-nungunika anavunjaka moyo wengine (Hes 11:10-15; it-2-F uku. 715 fu. 1)
Hata kama Waisraeli walipataka magumu mingi mu jangwa, walipaswa kumushukuru Yehova kwa mambo mingi yenye alikuwa anawafanyia. Kuendelea Kuwaza sana juu ya mambo mingi ya muzuri yenye Yehova iko anatufanyia, kunaweza kutusaidia tuepuke kunungunika-nungunika.