Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Mwezi wa 1 uku. 14
  • Mufalme Wako Ni Nani?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mufalme Wako Ni Nani?
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kutii Ni Muzuri Kuliko Zabihu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Ufundi wa Daudi wa Kupigana Vita
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Kimbelembele Kinapatishaka Mutu Haya
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Ujitie Nguvu kwa Musaada wa Yehova Mungu Wako
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
mwb22 Mwezi wa 1 uku. 14
Nabii Samweli iko nafanya ishara ya kuonyesha mbinguni wakati iko naongea na Waisraeli fulani.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Mufalme Wako Ni Nani?

Waisraeli walitenda kwa kimbele-mbele kwa kuomba mufalme mwanadamu (1Sa 8:4, 5; it-2-F uku. 827 fu. 1)

Waisraeli hawakutosheka na Yehova, Mutawala wao mwenye hakukuwa anaonekana (1Sa 8:7, 8; w11-SW 1/1 uku. 27 fu. 2)

Yehova aliwaambia matokeo ya ombi yao (1Sa 8:9, 18; w10-SW 15/1 uku. 30 fu. 9)

Sikuzote Yehova anatumia mamlaka yake makubwa zaidi juu ya uumbaji wake wote. Anatawala watu wake kwa heshima na mu njia ya muzuri. Kama tunatii na kuunga mukono utawala wake, tutabarikiwa milele.

UJIULIZE HIVI: ‘Niko nafanya nini mu maisha yangu ili kuonyesha kama niko natii uongozi wa Yehova?’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine