Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Mwezi wa 1 uku. 15
  • Ku Mwanzo Sauli Alikuwa Munyenyekevu na Mwenye Kiasi

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ku Mwanzo Sauli Alikuwa Munyenyekevu na Mwenye Kiasi
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kimbelembele Kinapatishaka Mutu Haya
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • “Kutii Ni Bora Kuliko Dhabihu”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Kutii Ni Muzuri Kuliko Zabihu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Yesu Anamuchagua Sauli
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
mwb22 Mwezi wa 1 uku. 15

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Ku Mwanzo Sauli Alikuwa Munyenyekevu na Mwenye Kiasi

Sauli alikuwa munyenyekevu na alisita wakati alichaguliwa kuwa mufalme (1Sa 9:21; 10:20-22; w20.08 uku. 10 fu. 11)

Sauli hakutenda haraka-haraka wakati watu walimusema mubaya (1Sa 10:27; 11:12, 13; w14 15/3 uku. 9 fu. 8)

Sauli alikubali roho ya Yehova imuongoze (1Sa 11:5-7; w95-SW 15/12 uku. 10 fu. 1)

Muzee moya iko naonyesha dada moya mwenye kuwa na mwaliko ya Arusi andiko fulani mu Biblia.

Unyenyekevu utatusaidia kuona kama mapendeleo na uwezo wenye tuko nao ni zawadi kutoka kwa Yehova. (Ro 12:3, 16; 1Ko 4:7) Tena, kama tuko wanyenyekevu, tutaendelea kumuacha Yehova atuongoze.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine