UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Ku Mwanzo Sauli Alikuwa Munyenyekevu na Mwenye Kiasi
Sauli alikuwa munyenyekevu na alisita wakati alichaguliwa kuwa mufalme (1Sa 9:21; 10:20-22; w20.08 uku. 10 fu. 11)
Sauli hakutenda haraka-haraka wakati watu walimusema mubaya (1Sa 10:27; 11:12, 13; w14 15/3 uku. 9 fu. 8)
Sauli alikubali roho ya Yehova imuongoze (1Sa 11:5-7; w95-SW 15/12 uku. 10 fu. 1)
Unyenyekevu utatusaidia kuona kama mapendeleo na uwezo wenye tuko nao ni zawadi kutoka kwa Yehova. (Ro 12:3, 16; 1Ko 4:7) Tena, kama tuko wanyenyekevu, tutaendelea kumuacha Yehova atuongoze.