Daudi anapambana na Goliati
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Vita Ni ya Yehova”
Imani ya Daudi katika Yehova ilitegemea mambo yenye alijua na mambo yenye alikutana nayo (1Sa 17:36, 37; wp16.5 uku. 11 fu. 2-3)
Wakati Daudi alimuona Goliati, hakujilinganisha naye, lakini alimulinganisha njo na Yehova (1Sa 17:45-47; wp16.5 uku. 11-12)
Yehova alifanya Daudi ashinde adui mwenye nguvu na mwenye kuogopesha (1Sa 17:48-50; wp16.5 uku. 12 fu. 4; ona picha ya kujalada)
Wakati fulani, tunaweza kukutana na magumu, sawa vile upinzani ao kupiganisha tabia fulani ya mubaya. Wakati magumu inaonekana kuwa ya nguvu sana, tukumbuke kama ni ya kidogo sana kwa kuilinganisha na nguvu za Yehova zenye hazina mipaka.—Yob 42:1, 2.