UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Unajifunzaka Kupitia Makosa Yako?
[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu ya 1 Wafalme.]
Adoniya alihurumiwa kisha kufanya njama ya kuwa mufalme (1Fa 1:5, 52, 53; it-2-F uku. 870 fu. 3)
Adoniya hakujifunza kupitia makosa yake, na ile ilimuletea matokeo ya mubaya (1Fa 2:15-17, 22, 23; it-1-F uku. 48)
Mutu mwenye kuwa na hekima ni ule mwenye anajifunzaka kupitia makosa yake. Na tena, anajifunzaka kupitia makosa ya wengine.—1Ko 10:11.