Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Mwezi wa 9 uku. 8
  • Asa Alitenda kwa Uhodari—Na Weye Utafanya Vile?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Asa Alitenda kwa Uhodari—Na Weye Utafanya Vile?
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Habari za Kufanana na Zile
  • ‘Kuna Sawabu kwa Ajili ya Kazi Yenu’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Tenda kwa Hekima Wakati Kungali Amani
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
  • Umutumikie Yehova kwa Moyo Mukamilifu!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
  • Yehova Anatukaribia Namna Gani?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
mwb22 Mwezi wa 9 uku. 8

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Asa Alitenda kwa Uhodari​—Na Weye Utafanya Vile?

Asa alitetea kwa bidii ibada safi (1Fa 15:11, 12; w12 15/8 uku. 8 fu. 4)

Kwa uhodari, Asa alionyesha kama ibada njo ilikuwa jambo ya maana zaidi kwake kuliko uhusiano na watu wa familia yake (1Fa 15:13; w17.03 uku. 19 fu. 7)

Hata kama Asa alifanya makosa, Yehova aliendelea kumuona kuwa muaminifu juu alikuwa na sifa za muzuri (1Fa 15:14, 23; it-1-F uku. 195)

Mutoto anatoka ku nyumba na sakoche yake. Baba anakumbatia bibi na mutoto yake wenye wako wanalia.

UJIULIZE HIVI: ‘Ninakuwaka na bidii kwa ajili ya ibada safi? Najikazaka kuacha kushirikiana na mutu yeyote, kutia ndani mutu wa familia, mwenye anamuacha Yehova?’​—2Yo 9, 10.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine