UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“NYUMBA YOTE YA AHABU ITAANGAMIA”—2Fa 9:8
UFALME WA YUDA
Yehoshafati iko natawala
c. 911 hivi: Yehoramu (mwana wa Yehoshafati; bwana ya Atalia, binti ya Ahabu na Yezebeli) anaanza kutawala yeye peke
c. 906 hivi: Ahazia (mujukuu wa Ahabu na Yezebeli) anakuwa mufalme
c. 905 hivi: Atalia anaua watoto wa mufalme na anaanza kutawala. Ni mujukuu wake mumoja tu, Yehoashi njo mwenye aliponyoka na akafichwa na Kuhani Mukubwa Yehoyada. —2Fa 11:1-3
c. 898 hivi: Yehoashi anakuwa mufalme. Yehoyada, kuhani mukubwa, anaua Malkia Atalia.—2Fa 11:4-16
UFALME WA ISRAELI
c. 920 hivi: Ahazia (mwana wa Ahabu na Yezebeli) anakuwa mufalme
c. 917 hivi: Yehoramu (mwana wa Ahabu na Yezebeli) anakuwa mufalme
c. 905 hivi: Yehu anaua Mufalme Yehoramu wa Israeli na ndugu zake, mama ya Yehoramu (Yezebeli), na Mufalme Ahazia wa Yuda na ndugu zake. —2Fa 9:14–10:17
c. 904 hivi: Yehu anaanza kutawala