UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Tia Nguvu Nia Yako ya Kufanya Mapenzi ya Mungu
Juu Sauli alikosa kutii, Yehova alimukatala (1Ny 10:13, 14)
Yehova alimuchagua Daudi akuwe mufalme pa nafasi ya Sauli (1Ny 11:3)
Tofauti na Sauli, Daudi alitii sheria na kanuni za Yehova (1Ny 11:15-19; w12 15/11 uku. 6 fu. 12-13)
Daudi alipenda kufanya mapenzi ya Mungu. (Zb 40:8) Na siye tunaweza kutia nguvu nia yetu ya kufanya mambo ya muzuri kwa kujifunza kuona mambo sawa vile Yehova.—Zb 25:4; w18.06 uku. 17 fu. 5-6.