Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 5 uku. 6
  • Yehova Anabariki Matendo ya Uhodari

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Anabariki Matendo ya Uhodari
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Juu ya Nini Tunapaswa Kumuogopa Yehova?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
  • Uhodari wa Yehoyada
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Kumutumikia Yehova Haiko Nguvu Sana
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Uko Nafaidika Kabisa na Neno ya Mungu?
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 5 uku. 6
Picha: 1. Yehoyada na Yehoshabeati wanakamata mutoto Yehoashi ili kumuficha. 2. Kuhani Mukubwa Yehoyada anavalisha Yehoashi taji ili akuwe mufalme.

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Yehova Anabariki Matendo ya Uhodari

Yehoshabeati na bwana yake Yehoyada, walilinda Yehoashi ili Atalia asimuue (2Ny 22:11, 12; w09-SW 1/4 uku. 24 fu. 1-2)

Kwa uhodari, Yehoyada alitenda ili kumuweka Yehoashi kuwa mufalme (2Ny 23:1-11, 14, 15; w09-SW 1/4 uku. 24 fu. 3-5)

Yehoyada alionyeshwa heshima ya pekee kwa kuzikwa pamoja na wafalme (2Ny 24:15, 16; it-1-F uku. 776 fu. 8)

JAMBO YA KUFIKIRIA: Ningependa kuonyesha uhodari zaidi mu sehemu gani ya utumishi wangu kwa Yehova?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine