Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 9 uku. 11
  • Yehova Anaokoa Wale Wenye Kupondwa Roho

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Anaokoa Wale Wenye Kupondwa Roho
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Maamuzi Yenye Inaonyesha Kama Tunamutegemea Yehova
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Yehova “Anaponyesha Wenye Kuvunjika Moyo”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2024
  • “Kumukaribia Mungu Ni Jambo la Muzuri” Kwetu!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
  • Yehova Atakusaidia Wakati wa Magumu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2024
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 9 uku. 11

MAISHA YA MUKRISTO

Yehova Anaokoa Wale Wenye Kupondwa Roho

Kila mutu anakuwaka na huzuni wakati fulani. Kuwa na huzuni haimaanishe kama mutu iko zaifu kiroho. Wakati fulani hata Yehova alionyesha kama alikuwa na huzuni. (Mwa 6:5, 6) Lakini tufanye nini kama tunazoea kusikia huzuni ya mingi ao ikiwa tunaisikia kila wakati?

Tafuta musaada kwa Yehova. Yehova anahangaikia sana afya yetu ya kiakili na namna tunajisikia. Anajua wakati tuko na furaha na wakati tuko na huzuni. Anaelewa juu ya nini tuko na mawazo ao hisia fulani. (Zb 7:9b) Na jambo ya maana zaidi, Yehova anatuhangaikia na anaweza kutusaidia kupambana na huzuni na hali ya kushuka moyo.—Zb 34:18.

Hangaikia afya yako ya kiakili. Mawazo ya kuvunja moyo inaweza kufanya tupoteze furaha na inaweza kuwa na matokeo ya mubaya juu ya ibada yetu. Njo maana tunapaswa kulinda moyo wetu, ni kusema hali yetu yote ya ndani.—Mez 4:23.

MUANGALIE VIDEO NAMNA NDUGU NA DADA ZETU WAKO NAFURAHIA AMANI HATA KAMA WANASHUKA MOYO, NA KISHA MUJIBIE MAULIZO YENYE KUFUATA:

  • Nikki alifanya nini ili aweze kupambana na hali ya kushuka moyo?

  • Juu ya nini Nikki aliona kama alikuwa na lazima ya kuonana na munganga?—Mt 9:12

  • Namna gani Nikki alitafuta musaada wa Yehova?

“Munara wa Mulinzi” Na. 1  2023, yenye kichwa “Afya ya Akili—Biblia Inaweza Kukusaidia”

Unajua mutu fulani mwenye toleo ya watu wote ya Munara wa Mulinzi Na. 1 2023 inaweza kusaidia?

Unaweza kufanya nini ili kuhangaikia afya yako ya kiakili?

(Ona kisanduku yenye kufuata ili uone mambo yenye unaweza kufanyia maendeleo.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine