UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Usiache Waamini Wenzako Hata Kidogo
Watu wa familia ya Yobu walimuacha (Yob 19:13)
Watoto kidogo na watumishi wa Yobu waliacha kumuheshimia (Yob 19:16, 18)
Marafiki wa karibu wa Yobu walimugeukia (Yob 19:19)
UJIULIZE HIVI: ‘Namna gani naweza kuendelea kuonyesha upendo kwa mwamini mwenzangu mwenye iko mu magumu?’—Mez 17:17; w22.01 uku. 16 fu. 9; w21.09 uku. 30 fu. 16; w90-SW 1/9 uku. 22 fu. 20.