Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 11 uku. 16
  • Mupango wa Kufariji Wale Wenye Wako ku Beteli

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mupango wa Kufariji Wale Wenye Wako ku Beteli
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Maamuzi Yenye Inaonyesha Kama Tunamutegemea Yehova
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Hatuko Peke Yetu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
  • Kumbuka Kama Yehova Ni “Mungu Mwenye Kuishi”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2024
  • Itika Kama Kuko Mambo Yenye Haujue
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 11 uku. 16

MAISHA YA MUKRISTO

Mupango wa Kufariji Wale Wenye Wako ku Beteli

Kila mutu anapataka majaribu na iko na lazima ya kufarijiwa na kutegemezwa. Hata wale wenye wako nguvu kiroho ao wenye wako na mapendeleo fulani mu tengenezo ya Yehova wanaweza tu kuvunjika moyo. (Yob 3:​1-3; Zb 34:19) Mupango wa kufariji na kutegemeza ndugu na dada wa familia ya Beteli unaweza kutufundisha nini?

MUANGALIE VIDEO “UMUTEGEMEE MUNGU,” NA KISHA MUJIBIE MAULIZO YENYE KUFUATA:

  • Ndugu na dada wa familia ya Beteli wanapataka magumu gani?

  • Ni mambo gani ine inafanyiwaka juu ya kuwatia moyo?

  • Namna gani kufariji wengine kunasaidiaka wale wenye kufariji?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine