Ulishakajiuliza?
Kama kila mutu anapendaka amani, sasa juu ya nini kuko mavita?
Inawezekana kuwa na amani mu dunia mwenye mulishayala vita?
Kuko siku vita haitakuwaka tena?
Majibu ya Biblia ku ile maulizo inaweza kukushangaza na itakufariji.
Tunakutia moyo kutafuta mambo yenye Biblia inasema juu ya zile habari. Ujifunze mambo mingi zaidi mu hii gazeti Munara wa Mulinzi.