Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w25 Mwezi wa 2 uku. 32
  • Onyesha Uhodari Wakati Wanakukaza Kufanya Mambo ya Mubaya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Onyesha Uhodari Wakati Wanakukaza Kufanya Mambo ya Mubaya
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mthawabishaji wa Wote Wanaomtumikia
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Kaa Macho, Kama Yeremia Alivyofanya
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Yehova Anatuma Yeremia Aende Kuhubiri
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Uwe Hodari Yehova Yupo Pamoja Nawe!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
w25 Mwezi wa 2 uku. 32

PENDEKEZO JUU YA MAMBO YA KUJIFUNZA

Onyesha Uhodari Wakati Wanakukaza Kufanya Mambo ya Mubaya

Soma Yeremia 38:​1-13 juu ujifunze juu ya uhodari wenye nabii Yeremia na towashi Ebed-Meleki walionyesha.

Chunguza habari yote. Namna gani Yeremia alionyesha uhodari wakati alikuwa natangaza ujumbe wa Yehova? (Yer. 27:​12-14; 28:​15-17; 37:​6-10) Ujumbe wenye Yeremia alitangaza ulifanya watu watende namna gani?—Yer. 37:​15, 16.

Ujifunze mambo mingi zaidi. Watu walikaza Yeremia afanye nini? jr uku. 26-27 fu. 20-22) Tafuta habari kuhusu tangi za maji za zamani. (it-1-F uku. 483-484) Pengine Yeremia alijisikia namna gani wakati alikuwa mu ile tangi yenye ilikuwa na matope? Ni mambo gani yenye ingeweza kumuogopesha Ebed-Meleki?—w12 1/5 uku. 31 fu. 2-3.

Unajifunza nini? Ujiulize hivi:

• ‘Hii habari inanifundisha nini kuhusu namna Yehova analinda watumishi wake waaminifu?’ (Zb. 97:10; Yer. 39:​15-18)

• ‘Ni hali gani zenye zinaweza kuniomba nionyeshe uhodari?’

• ‘Ninaweza kufanya nini juu nikuwe na uhodari wa kufanya mambo yenye kuwa sawa wakati wengine wananikaza kufanya mambo ya mubaya?’ (w11 1/3 uku. 30)a

[Maelezo ya chini]

a Kuhusu mambo ya kujifunza, ona habari “Namna ya Kujifunza” mu Munara wa Mulinzi wa Mwezi wa 7, 2023.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine