Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w15 15/10 uku. 27
  • ‘Muendelee Kuwaheshimu Sana Watu wa Namna Hiyo’

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • ‘Muendelee Kuwaheshimu Sana Watu wa Namna Hiyo’
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Baraza Yenye Kuongoza ya Mashahidi wa Yehova Ni Nini?
    Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana Juu ya Mashahidi wa Yehova
  • Namna Gani Baraza Lenye Kuongoza Linafanya Kazi Leo?
    Ni Nani Wanafanya Mapenzi ya Yehova Leo?
  • Ni Nani Anaongoza Watu wa Mungu Leo?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
  • “Mutumwa Muaminifu na Mwenye Busara” Anafanyaka Nini?
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
w15 15/10 uku. 27
Mukutano wa halmashauri moja ya Baraza Lenye Kuongoza

‘Muendelee Kuwaheshimu Sana Watu wa Namna Hiyo’

TANGU mwaka wa 1992, Baraza Lenye Kuongoza limechagua wazee wenye uzoefu na wenye kukomaa kiroho ili wasaidie halmashauri mbalimbali za baraza hilo kufanya kazi.a (Soma maelezo ya chini.) Wasaidizi hao wenye kuwa kati ya “kondoo wengine,” wanasaidia sana ndugu wa Baraza Lenye Kuongoza. (Yohana 10:16) Kila juma, wanahuzuria mukutano wa halmashauri zenye wanasaidia. Kazi yao ni kuleta habari zenye kuhitajiwa na kutoa mapendekezo. Kisha, ndugu wa Baraza Lenye Kuongoza wanakamata maamuzi ya mwisho, na kisha wasaidizi hao wanahakikisha kwamba mambo yenye iliamuliwa inatimizwa kabisa. Wasaidizi hao wako tayari kufanya kazi yoyote yenye wanapewa. Wanasafiri kwenye mikusanyiko ya pekee na ya kimataifa pamoja na ndugu wa Baraza Lenye Kuongoza. Wanaweza pia kuombwa kuwa wajumbe wa makao yetu makubwa ili kutembelea Beteli mbalimbali.

Ndugu moja mwenye amekuwa musaidizi wa tangu mwaka wa 1992, anasema hivi: “Wakati ninatimiza muzuri mugawo wangu, hilo linasaidia ndugu wa Baraza Lenye Kuongoza wakaze akili yao juu ya namna ya kutimiza madaraka yao.” Ndugu mwengine mwenye amekuwa musaidizi kwa miaka 20, anasema hivi: “Ni pendeleo kubwa sana lenye sikuwazia hata kidogo kwamba ningepata.”

Baraza Lenye Kuongoza limetolea wasaidizi hao madaraka mengi na linapendezwa na kazi ngumu yenye ndugu hao waaminifu wanafanya. Basi sisi wote ‘tuendelee kuwaheshimu sana watu wa namna hiyo.’—Wafilipi 2:29.

a Ili kupata habari zaidi juu ya kazi za halmashauri sita za Baraza Lenye Kuongoza, soma ukurasa wa 131 katika kitabu Ufalme wa Mungu Unatawala!

Wasaidizi wa Halmashauri za Baraza Lenye Kuongoza

Halmashauri ya Waratibu

  • John Ekrann

  • Robert Wallen

Halmashauri ya Wafanyakazi

  • Gerald Grizzle

  • Patrick LaFranca

  • Daniel Molchan

  • Ralph Walls

Halmashauri ya Utangazaji

  • Don Adams

  • Robert Butler

  • Harold Corkern

  • Donald Gordon

  • Robert Luccioni

  • Alex Reinmueller

  • David Sinclair

Halmashauri ya Utumishi

  • Gary Breaux

  • Joel Dellinger

  • Seth Hyatt

  • Christopher Mavor

  • Baltasar Perla, Jr.

  • William Turner, Jr.

  • Robert Wallen

  • Leon Weaver, Jr.

Halmashauri ya Ufundishaji

  • Ronald Curzan

  • Kenneth Flodin

  • William Malenfant

  • Mark Noumair

  • David Schafer

Halmashauri ya Uandikaji

  • Robert Ciranko

  • James Mantz

  • Izak Marais

  • Gene Smalley

  • John Wischuk

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine