Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • ijwfq habari 5
  • Sababu Gani Wanaitwa Mashahidi wa Yehova?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Sababu Gani Wanaitwa Mashahidi wa Yehova?
  • Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana Juu ya Mashahidi wa Yehova
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Juu ya Nini Tunaitwa Mashahidi wa Yehova?
    Ni Nani Wanafanya Mapenzi ya Yehova Leo?
  • Yehova Analitukuza Jina Lake
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
  • Tuliheshimu Jina Kubwa la Mungu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Jina la Mungu
    Amuka!—2017
Ona Habari Zaidi
Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana Juu ya Mashahidi wa Yehova
ijwfq habari 5
Mashahidi wa Yehova katika mahubiri

Sababu Gani Wanaitwa Mashahidi wa Yehova?

Yehova ndilo jina la pekee la Mungu linalopatikana katika Biblia. (Kutoka 6:3; Zaburi 83:18) Shahidi ni mutu anayetangaza kweli ambazo anaamini kabisa.

Kwa hiyo, jina letu Mashahidi wa Yehova linaonyesha kwamba sisi ni kikundi cha Wakristo wanaotangaza ukweli juu ya Yehova, Muumbaji wa vitu vyote. (Ufunuo 4:11) Tunawatolea wengine ushahidi kupitia namna yetu ya kuishi na kwa kuwahubiria mambo ambayo tumejifunza katika Biblia.—Isaya 43:10-12; 1 Petro 2:12

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine