Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • ijwfq habari 8
  • Je, Mashahidi wa Yehova Wanavumilia Dini Zingine?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Je, Mashahidi wa Yehova Wanavumilia Dini Zingine?
  • Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana Juu ya Mashahidi wa Yehova
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ni Mambo Gani Unajua Juu ya Mashahidi wa Yehova?
    Amuka!—2016
  • Kuvumilia Wengine—Biblia Inaweza Kukusaidia
    Habari Zingine
  • Kuvumilia Wengine
    Amuka!—2015
  • Heshima Imeenda Wapi?
    Amuka!—2024
Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana Juu ya Mashahidi wa Yehova
ijwfq habari 8
Mutu anayesoma Biblia katika libreri

Je, Mashahidi wa Yehova Wanavumilia Dini Zingine?

Tunatii shauri la Biblia la ‘kuwaheshimu watu wa namna zote’ hata wawe wa dini gani. (1 Petro 2:17) Kwa mufano, katika inchi fulani kuna Mashahidi wa Yehova wengi sana. Hata hivyo, hatuwachochee wakubwa wa serikali ao wale wanaotunga sheria wakataze dini zingine ao kuzitilia vizuizi. Wala hatufanye kampanye ili serikali itunge sheria za kuwalazimisha watu kufuata kanuni zetu na mambo tunayoamini. Lakini, tunawavumilia wengine namna tunavyotaka wao pia watuvumilie.—Mathayo 7:12.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine