Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • ijwbq habari 20
  • Mungu Njo Anatuleteaka Mateso?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mungu Njo Anatuleteaka Mateso?
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Jibu ya Biblia
  • Biblia Inasema Nini?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
  • Habari Zenye Kuwa Ndani
    Amuka!—2020
  • Ulizo la 3: Sababu Gani Mungu Anaacha Niteseke?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Mambo Biblia Inasema Juu ya Mateso
    Amuka!—2015
Ona Habari Zaidi
Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
ijwbq habari 20
Mwanaume fulani iko anasaidia mutu mwenye kuteseka

Mungu Njo Anatuleteaka Mateso?

Jibu ya Biblia

Bila kuenda huku na huku, Biblia inajibia hapana! Wakati Mungu aliumba wanadamu, hakupendaka wakuwe wanateseka. Lakini wanadamu wa kwanza walikatala kumutii Mungu, wakachagua kujiamulia mambo ya muzuri na ya mubaya. Walimuacha Mungu, na ile iliwaletea magumu.

Leo, na siye tuko tunateseka juu ya uamuzi mubaya wenye walikamataka. Kwa hiyo, haiko Mungu njo analeteaka wanadamu mateso.

Biblia inasema hivi: “Wakati mutu iko katika jaribu, asiseme: ‘Mungu ananijaribu.’ Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na mambo maovu, wala yeye mwenyewe hamujaribu mutu yeyote.” (Yakobo 1:13) Watu wote wanaweza kuteseka, hata watu wenye kumutumikia Mungu.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine