Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • ijwfq habari 27
  • Mashahidi wa Yehova Wanamuke Wanahubiriaka?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mashahidi wa Yehova Wanamuke Wanahubiriaka?
  • Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana Juu ya Mashahidi wa Yehova
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mungu Anawaheshimu Wanawake na Anawaona Kuwa Watu wa Lazima
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Je, Mashahidi wa Yehova Wanawaacha Wanawake Wafundishe?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Je, Kweli Mungu Anawahangaikia Wanawake?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Daraka la Wanawake Katika Mupango wa Yehova
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana Juu ya Mashahidi wa Yehova
ijwfq habari 27

Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana / Mahubiri/ Mashahidi wa Yehova Wanamuke Wanahubiriaka?

Ndiyo. Mashahidi wa Yehova wote ni wahubiri, na hata mamilioni ya wanamuke wanahubiriaka pia. Kama vile tu Biblia inasema: “Wanamuke wenye kutangaza habari njema ni jeshi kubwa.”​—Zaburi 68:11.

Mashahidi wa Yehova wanamuke wanafuata mufano wa wanamuke wa zamani wenye wanazungumuziwa mu Biblia. (Mezali 31:10-​31) Hata kama hawako viongozi mu kutaniko, wanahubiriaka sana habari njema. Tena, wanafundishaka watoto wao kanuni za Biblia. (Mezali 1:8) Maneno na matendo yao ya muzuri inafanyaka wengine wajikaze kuwaiga.​—Tito 2:3-5.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine