Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO

Maelezo ya ku Mwisho wa Habari

^ [1] (fungu la 14) Kuko mambo mengi yenye kufanana kati ya utumwa wa Wayahudi katika Babiloni na mambo yenye yalifikia Wakristo kisha uasi-imani kuanza. Lakini, hatuwezi kusema kama utumwa wa Wayahudi ulifananisha mambo yenye yalipata Wakristo watiwa-mafuta; kwa hiyo, hatupaswe kutafuta maana ya kiunabii katika kila jambo lenye lilitokea. Kuko mambo fulani yenye kuwa tofauti. Mufano moja ni kwamba Wayahudi walikuwa katika utumwa kwa miaka 70, lakini Wakristo walikuwa katika utumwa miaka mingi zaidi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine