Maelezo ya ku Mwisho wa Habari
^ [1] (fungu la 14) Kuko mambo mengi yenye kufanana kati ya utumwa wa Wayahudi katika Babiloni na mambo yenye yalifikia Wakristo kisha uasi-imani kuanza. Lakini, hatuwezi kusema kama utumwa wa Wayahudi ulifananisha mambo yenye yalipata Wakristo watiwa-mafuta; kwa hiyo, hatupaswe kutafuta maana ya kiunabii katika kila jambo lenye lilitokea. Kuko mambo fulani yenye kuwa tofauti. Mufano moja ni kwamba Wayahudi walikuwa katika utumwa kwa miaka 70, lakini Wakristo walikuwa katika utumwa miaka mingi zaidi.