Maelezo ya Chini
a Biblia haifundishe kama Mungu ana bibi kwelikweli ambaye alizaa naye watoto. Lakini, inamuita Yesu “Mwana wa Mungu” kwa sababu Yesu aliumbwa moja kwa moja na Mungu, akiwa na sifa ao tabia zinazofanana na za Baba yake.
a Biblia haifundishe kama Mungu ana bibi kwelikweli ambaye alizaa naye watoto. Lakini, inamuita Yesu “Mwana wa Mungu” kwa sababu Yesu aliumbwa moja kwa moja na Mungu, akiwa na sifa ao tabia zinazofanana na za Baba yake.