Maelezo ya Chini
a Wale wenye kupata magumu makali kwa sababu mwili wao unakataa chakula wanashauriwa kutembea na dawa fulani yenye kuwa na adrenalini (epinephrine), yenye mutu anaweza kujitoboa wakati anajikuta katika hali fulani yenye inaomba kutunzwa haraka. Wanganga fulani wa afya wanaona ni muzuri watoto wenye mwili wao unakataa chakula fulani wakuwe na alama ya kutambulisha hali yao mbele ya walimu ao watu wenye kuwachunga.