Maelezo ya Chini
a Kwa kutumia maneno ya mufano, Biblia inasema kwamba hata Mungu anatabasamu. Andiko la Zaburi 119:135 linasema hivi: ‘Ufanye uso wako utabasamu [kwa kumukubali] mutumishi wako.’—Maelezo ya chini katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya 2013 ya Kiingereza.