Maelezo ya Chini
a Kulingana na mutu fulani mwenye elimu, ile wakati kulikuwa sheria ya kaisari yenye ilikataza kutangaza “kuja kwa mufalme ao ufalme mupya wenye ungekamata nafasi, ao kuhukumu mutawala mwenye alikuwa anatawala.” Pengine maadui wa Paulo walifasiria mubaya ujumbe wake ili kuonyesha kama alivunja ile sheria. Ona kisanduku “Mambo Yenye Kitabu ya Matendo Inasema Kuhusu Kaisari.”