Maelezo ya Chini
c Areopago ilikuwa mulima kwenye watawala wa Atene walikuwa wanakutana. Neno “Areopago” inaweza kumaanisha watawala ao ile mulima. Kwa hiyo, watu wenye elimu wako na mawazo tofauti kuhusu kwenye Paulo alipelekwa. Wamoja wanawaza kama alipelekwa ku ile mulima ao karibu na ile mulima ao tena ku mukutano wa watawala fasi ingine, pengine mu soko.