c Kati ya wenye walienda Yerusalemu kulikuwa Tito, Mukristo Mugiriki mwenye alifikia kutumika pamoya na Paulo. (Gal. 2:1; Tit. 1:4) Alikuwa mutu wa mataifa mwenye hatahiriwe, lakini mwenye alikuwa amepokea roho takatifu na alikuwa ndugu muzuri sana.—Gal. 2:3.