Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

c Watu wenye elimu wanasema kama wale wanaume walikuwa wamefanya naziri ya kuwa Wanaziri. (Hes. 6:1-21) Ni kweli kwamba naziri ya vile ilikuwa nafanywa chini ya Sheria ya Musa, na Sheria ya Musa haikukuwa natumika tena. Lakini, inawezekana Paulo aliona kama haikukuwa kosa wale wanaume watimize naziri yenye walimufanyia Yehova. Kwa hiyo, haingekuwa kosa kulipia mambo yote yenye walikuwa nayo lazima na kuwasindikiza. Hatujue ilikuwa naziri ya aina gani, lakini tunajua kama Paulo hangegaramia kutolewa kwa zabihu za wanyama (sawa vile Wanaziri walikuwa wanafanya) na kutumainia kama zile zabihu zingesafisha zambi ya wale wanaume. Kwa sababu Kristo alikuwa alishatoa zabihu kamilifu, zabihu za wanyama hazingeweza kufunika zambi. Ikuwe Paulo alifanya nini, tuko hakika kama Paulo hangekubali kufanya jambo yoyote yenye ingesumbua zamiri yake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine