Maelezo ya Chini
d Watu fulani wanasema kama Paulo alikuwa na matatizo ya macho na ile njo ilifanya asitambue kuhani mukubwa. Ao pengine juu hakukuwa Yerusalemu kwa muda murefu, hakujua ni nani njo alikuwa sasa kuhani mukubwa. Ao tena pengine hakuona muzuri ni nani aliagiza wamupige juu kulikuwa watu wengi.