Maelezo ya Chini
e Mu mwaka wa 49 K.K.Y., wakati mitume na wazee walikusanyika ili kuzungumuzia ikiwa Watu wa Mataifa wanapaswa kufuata Sheria ya Musa, wamoja kati ya Wakristo wenye walikuwa pale waliitwa kuwa “wamoja kati ya wale wa zehebu la Wafarisayo wenye walikuwa wameamini.” (Mdo. 15:5) Ni wazi kama, wale waamini walikuwa wangali wanaitwa vile juu zamani walikuwa Wafarisayo.