Maelezo ya Chini
a Wanaziri walipaswa kutii naziri yao iliyowakataza kunywa pombe na kunyoa nywele. Wengi walikuwa wanaziri kwa muda wa kipindi fulani tu, wengine walikuwa wanaziri maisha yao yote, kama vile Samsoni, Samweli, na Yohana Mubatizaji; lakini ni wachache waliokuwa wanaziri maisha yao yote.