Maelezo ya Chini
c Ni jambo lenye kupendeza kujua kwamba Eliya aliwaambia: ‘Musiwashe moto’ kwenye zabihu. Watu wenye kujifunza maneno ya Biblia wanasema kwamba wakati fulani waabudu hao wa Baali walikuwa wanatumia mazabahu yaliyokuwa na tundu chini na lenye kufichwa, ili kuwaaminisha watu kwamba moto ulikuwa unawaka kimuujiza.