Maelezo ya Chini
a Mufalme aliwapatia Wayahudi siku zingine mbili ili waendelee kupigana na adui zao na kuwashinda kabisa. (Esta 9:12-14) Hata leo, Wayahudi wanakumbuka ushindi huo kwenye sikukuu ya Purimu inayofanywa kila mwaka katika mwezi wa Adar, ni kusema, mwisho wa Mwezi wa 2 na mwanzoni mwa Mwezi wa 3, kulingana na kalendari yetu. Jina Purimu linatokana na kura ambayo Hamani alipiga ili kujua namna atawaangamiza Waisraeli..