Maelezo ya Chini
c Kwa kuwa wakati huo wachungaji hao walikuwa wanaishi inje na kondoo zao, hilo linahakikisha kile Biblia inasema kuhusu wakati Yesu alizaliwa: Kristo hakuzaliwa Mwezi wa 12 wakati ambapo wanyama wa kufugwa wangelindwa vizuri karibu na nyumba, lakini alizaliwa mwanzoni mwa Mwezi wa 10.