Maelezo ya Chini
a Tunajua namna gani kwamba Baba alimufundisha Mwana wake namna ya kufundisha? Fikiria jambo hili: Yesu alitumia mifano mingi katika mafundisho yake ili kutimiza unabii ambao uliandikwa miaka mingi mbele ya kuzaliwa kwake. (Zab. 78:2; Mt. 13:34, 35) Kwa kweli, Yehova ambaye aliandikisha unabii huo, alijua vizuri mbele ya wakati kwamba Mwana wake atatumia mifano katika mafundisho yake.—2 Tim. 3:16, 17.