Maelezo ya Chini
a Ni jambo la akili kufikiri kwamba kuharibiwa kwa ‘Babiloni Mukubwa’ ni kuharibiwa kwa mashirika ya kidini wala si kuuawa kwa watu wa dini. Watu wengi wa Babiloni wataokoka uharibifu huo, na wakati huo watajaribu kuonyesha kijuu-juu kwamba wanajiepusha kabisa na mambo ya dini kama vile andiko la Zekaria 13:4-6 linaonyesha.