Maelezo ya Chini
c Injili ya Luka inapanga ile majaribu mu njia tofauti, lakini Matayo anaipanga vile ilifuatana. Kuko sababu tatu. (1) Matayo anaanza jaribu la pili kwa kutumia neno “kisha,” ile inaonyesha kama lilitokea kisha lingine. (2) Ni jambo lenye kupatana na akili kufikiri kwamba ile majaribu mbili ya ujanja—yenye kila jaribu lilianza na maneno, “Kama wewe uko mwana wa Mungu”—ilipaswa kufuatwa na jaribu la wazi la kuomba mutu avunje amri ya kwanza. (Kut. 20:2, 3) (3) Maneno ya Yesu “Toka mbele yangu, Shetani!” ilipaswa kusemwa tu kisha jaribu la tatu, lile la mwisho.—Mt. 4:5, 10, 11.