Maelezo ya Chini
c Danieli 11:45 inaonyesha kama mufalme wa kaskazini atashambulia watu wa Mungu, juu inasema kama ule mufalme “atasimamisha mahema yake ya kifalme kati ya bahari kubwa [Mediterania] na mulima mutakatifu wa lile Pambo [kwenye hekalu la Mungu lilikuwaka zamani na kwenye watu wa Mungu walikuwa wanaabudu].”